×
Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu
Kiswahili

Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu

Mwandishi: Bilal Philips
Soma: 23,370
Vipakuliwa: 12,027

Maelezo

Uislamu (kutii amri za Mwenyezi Mungu) ni dini aliyopewa Adam, mtu wa kwanza na mtume wa kwanza wa Mwenyezi Mungu, na Uislamu ndio dini ya mitume wote waliotumwa na Mwenyezi Mungu kwa wanadamu. Kwa kuongezea, jina la Uislamu lilichaguliwa na Mwenyezi Mungu mwenyewe na limetajwa wazi wazi katika kitabu cha mwisho cha Allah (Quran). Allah alimfunulia mwanadamu katika kitabu cha mwisho alichomfunulia Mwanadamu. Katika ufunuo wa mwisho, uitwao kwa Kiarabu Al-Quran Allah ameeleza yafuatayo:- “… Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu…” [Quran 5:3]

Lugha Zinazopatikana

Pakua PDF

Changanua ili kupakua

Fungua kiungo hiki kwenye kifaa chako au changanua msimbo wa QR ili kupakua kitabu moja kwa moja.

https://islamic-invitation.com/downloads/true-religion_swahili.pdf

+